Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 16:41

VIDEO: Wiki yenye joto kali la kisiasa Marekani


Mgombea wa urais wa chama cha Dempocratic, Hillary Clinton na yule wa chama cha Republican, Donald Trump wanasalimiana wakati wa hafla ya chakula cha jioni mjini New York siku ya Alhamisi.
Mgombea wa urais wa chama cha Dempocratic, Hillary Clinton na yule wa chama cha Republican, Donald Trump wanasalimiana wakati wa hafla ya chakula cha jioni mjini New York siku ya Alhamisi.

Huku zikiwa zimesalia takriban wiki mbili kabla ya uchaguzi wa Marekani kufanyika, joto la kisiasa lilieendelea kupanda na kupelekea hatua ya wagombea wakuu wawili, Hillary Clinton na Donald Trump, kuongeza idadi ya mikutano ya kampeni wanayohutubia kuliko ilivyokuwa hapo awali, hususan katika majimbo yenye ushindani mkubwa kisiasa.

Uchaguzi wa pamba moto Marekani
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:50 0:00

XS
SM
MD
LG