Huku zikiwa zimesalia takriban wiki mbili kabla ya uchaguzi wa Marekani kufanyika, joto la kisiasa lilieendelea kupanda na kupelekea hatua ya wagombea wakuu wawili, Hillary Clinton na Donald Trump, kuongeza idadi ya mikutano ya kampeni wanayohutubia kuliko ilivyokuwa hapo awali, hususan katika majimbo yenye ushindani mkubwa kisiasa.