Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 06:10

Obama asema hali ya taifa ni nzuri


Obama asema hali ya taifa ni nzuri
Obama asema hali ya taifa ni nzuri

Mwanzoni mwa wiki hii Rais Barack Obama alitoa hotuba yake ya hali ya taifa mbele ya kikao cha pamoja cha bunge la Marekani, na kueleza kuwa hali ya taifa chini ya utawala wake ni nzuri.

Katika Amerika Leo tunatupia jicho hotuba hiyo na endapo ilikuwa na chochote kikubwa katika sera za mambo ya nje kama anavyoripoti mwandishi wa Sauti ya Amerika Dan Robinson.

XS
SM
MD
LG