“Baada ya miaka 49, watu mashujaa wa Burkina Faso, Mali na Niger kwa masikitiko makubwa wanaona kwamba ECOWAS haizingatii tena maadili ya waasisi wake na msingi wa Afrika iliyoungana,” msemaji wa utawala wa kijeshi wa Niger, Kanali Abdramane Amadou amesema katika taarifa.
Ameongeza kuwa “ Jumuia hiyo ilishindwa kabisa kuzisaidia nchi hizo katika vita vyao dhidi ya ugaidi na usalama mdogo.”
Forum