Mwanasiasa mkongwe wa chama cha mapinduzi CCM Kingunge Ngombare Mwiru ametangaza kuachana na chama hicho ikiwa zimebaki siku chache tu kufanyike uchaguzi mkuu nchini Tanzanzania octoba 25.
Kingunge anasema amefikia uamuzi huo baada ya kutoridhishwa na utaratibu mzima wa uteuzi wa mgombea wa chama cha CCM na viongozi wake kukaa kimya bila kutoa maelezo.
Lakini kubwa zaidi anataka mabadiliko.