Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Juni 17, 2026 Local time: 16:45

Nauli na bei ya bidhaa muhimu huenda zikapanda Kenya


Nauli na bei ya bidhaa muhimu huenda zikapanda Kenya
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:17 0:00

Nauli na bei za bidhaa muhimu huenda zikaongezeka Kenya baada ya mamlaka husika kuongeza bei ya mafuta ikitokana na ongezeko la bei ya bidhaa hiyo katika soko la kimataifa.

XS
SM
MD
LG