Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 04:42

Mwanasiasa wa Uganda Bobi Wine aachiwa kwa dhamana Ijumaa


Mwanasiasa wa Uganda Bobi Wine aachiwa kwa dhamana Ijumaa
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Kabla ya kupewa dhamana mgombea urais Bobi Wine amefunguliwa mashtaka ya tuhuma za vitendo ambavyo vingeweza kusababisha kuenea kwa virusi vya corona.

Idadi ya walioambukizwa COVID-19 nchini Marekani imeongezeka na kufikia milioni 12.
Maafisa wa afya Kenya wawalaumu wananchi kwa kushindwa kufuata masharti ya kudhibiti virusi vya corona.
XS
SM
MD
LG