Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Machi 28, 2023 Local time: 13:53

Museveni adai Bisigye anachochea wananchi.


ទាហាន​ឥណ្ឌា​ជិះ​លើ​សត្វ​អូដ្ឋ​ក្នុង​ពេល​ហាត់​សម​សម្រាប់​ពិធី​​យោធា​មួយ​ដែល​គេ​ដាក់​ឈ្មោះ​ថា Beating the Retreat នៅ​ទីក្រុង​ញូវដេលី មុន​ពេល​ការ​ប្រារព​​ទីវា សាធារណរដ្ឋ របស់​ឥណ្ឌា។
Rais wa Uganda Yoweri Museveni, ametishia kumkamata mpinzani wake katika uchaguzi mkuu wa mwezi Februari Dkt Kiiza Besigye kwa kutoa matamshi anayodai ni mpango wa kuwachochea raia dhidi ya serikali yake na kupanga kumpindua kwa kutumia nguvu za raia.
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:50 0:00
Kiungo cha moja kwa moja
Besigye aliahidi kuwapa makao ya kudumu wakaazi wa mlima Elgon kwa kuweka mpaka kati ya musitu na makao ya raia, baada ya Museveni kuwafurusha raia kutoka msitu wa mlima huo. Chama cha FDC hata hivyo kumemuonya Museveni, dhidi ya kumkamata Besigye.
Rais Museveni amedai kuwa matamshi ya Dkt Besigye ni sawa na njama ya kupindua serikali kwa kutumia nguvu za wananchi. Amesema kuwa uchunguzi na kanda zinafanyawiwa uchunguzi wa kubainisha hatua za kisheria atakayo chukuliwa Bisigye iwapo madai hayo yatadhibitishwa kuwa ya kweli.

XS
SM
MD
LG