Wanamgambo wa jimbo hilo wamekuwa wakisaidia jeshi na washirika wao kutoka Rwanda na Jumuia ya maendeleo ya nchi za kusini mwa Afrika katika vita dhidi ya wapiganaji wa kislamu katika jimbo hilo. Sikiliza repoti kamili na pia unaweza kusikia habari nyingine mbalimbali za dunia ikiwemo mgogoro wa Sudan Kusini na shutuma dhidi ya Rais wa Afrika Kusini.
Matukio
-
Februari 04, 2023
Wananchi wa Peru washinikiza kufanyika uchaguzi, waandamana
-
Februari 04, 2023
Mkazi wa Haiti anayejulikana kimataifa, akanusha kujihusisha na uhalifu
-
Februari 04, 2023
VOA Mitaani: Uamuzi wa Mahakama Kuu Kenya waibua hisia mseto
-
Februari 03, 2023
Seneta Michael Bennette ataka programu ya TikTok kuondolewa
-
Februari 03, 2023
Nairobi: Mkazi wa Dandora aeleza uchafuzi wa mazingira ulivyauathiri mto