Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 09:53

Kanisa katoliki lapata Papa mpya


Vyombo vya habari Vatikan vikisubiru kuchaguliwa kwa baba mtakatifu mpya
Vyombo vya habari Vatikan vikisubiru kuchaguliwa kwa baba mtakatifu mpya
Baada ya kura za siku mbili moshi mweupe umetoka kutoka katika kanisa dogo la Sistine huko Vatikan ikiwa ni ishara kuwa kanisa katoliki limpeta kiongozi mpya Baba Mtakatifu. Makadinali wanaokutana Vatikan wamekuwa katika kanisa hilo dogo tangu jana na muda mfupi ulopita moshi mweupe ulionekana ukitoka juu kuashiria wamefikia uamuzi wa kuchagua Baba Mtakatifu mpya. Bado haijafahamika kiongozi huyo ni nani, wakatoliki kote duniani na waumini wa dini nyingine wanasubiri kwa hamu
XS
SM
MD
LG