Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Mei 26, 2026 Local time: 15:28

Mazungumzo ya kumaliza vita nchini Sudan yataendelea wiki hii

Wakaazi wa Sudan waliokoseshwa makaazi kufuatia mapigano kati ya jeshi na wanamgambo wa RSF
Wakaazi wa Sudan waliokoseshwa makaazi kufuatia mapigano kati ya jeshi na wanamgambo wa RSF

Mapigano kati ya jeshi la Sudan na wanamgambo wa RSF yamesababisha vifo na uharibifu wa mali kwa jamii.

Mazungumzo ya kumaliza miezi 15 ya vita nchini Sudan kati ya jeshi na wanamgambo wa Rapid Support Forces (RSF) yataendelea mjini Geneva wiki hii, mjumbe maalum wa Marekani, Tom Perriello alisema leo Jumatatu.

Haijabainika wazi iwapo ujumbe wa jeshi la Sudan au serikali utajiunga na mazungumzo hayo.

This item is part of

Forum

XS
SM
MD
LG