Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 17:19

Maonyesho ya picha za ukatili wa polisi yazinduliwa Nairobi


Maonyesho ya picha za ukatili wa polisi yazinduliwa Nairobi
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:53 0:00

Maonyesho ya picha zinazoonyesha ukatili wa polisi yamezinduliwa wiki iliyopita jijini Nairobi. Maonyesho yanadhamiria kutoa mwangaza kwa orodha ndefu ya visa, ambapo polisi wa Kenya, wamekuwa wakishutumiwa, kwa kutekeleza mauaji kiholela na ukatili dhidi ya wananchi.

XS
SM
MD
LG