Maelfu ya wananchi wakimbilia maeneo mengine ikiwemo Rwanda ambako wanakabiliwa na hali ngumu ya maisha kufuatia hofu ya mlipuko wa volcano na matetemeko ya ardhi.
- Rais wa Burundi afanya ziara ya siku mbili Kenya.
- Timu ya Zamalek ya Misri yasheherekea ushindi wa kombe la Mpira wa Kikapu wa Afrika (BAL).