Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Aprili 24, 2024 Local time: 03:37

Ligi ya Uingereza Jumapili : Chelsea kuikaribisha Man United


Ligi ya Uingereza Jumapili : Chelsea kuikaribisha Man United
please wait

No media source currently available

0:00 0:06:19 0:00

Premier League ya Uingereza itaanza na vijana wa Chelsea au the Blues wakiwakaribisha Manchester United katika pambano kubwa la ligi ya EPL Jumapili katika Uwanja wa Stamford Bridge Uingereza.

XS
SM
MD
LG