Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 01, 2023 Local time: 00:28

Ligi ya Uingereza Jumapili : Chelsea kuikaribisha Man United


Ligi ya Uingereza Jumapili : Chelsea kuikaribisha Man United
please wait

No media source currently available

0:00 0:06:19 0:00

Premier League ya Uingereza itaanza na vijana wa Chelsea au the Blues wakiwakaribisha Manchester United katika pambano kubwa la ligi ya EPL Jumapili katika Uwanja wa Stamford Bridge Uingereza.

XS
SM
MD
LG