Marekani yawatahadharisha watu waliokusanyika nje ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Kabul kwenda maeneo salama baada ya shambulizi la bomu liliotokea Alhamisi.
- Matukio kadhaa ya moto nchini Kenya yasababisha hali tete.
-Uvuvi wa dagaa na Jamii yake waelezwa kutokuwa na mchango unaostahili Tanzania.