Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 23, 2023 Local time: 07:50

Kesi ya kihistoria ya kujilipua iliyouwa watu 32 na kujeruhi wengine 300 yaanza Ubelgiji


Kesi ya kihistoria ya kujilipua iliyouwa watu 32 na kujeruhi wengine 300 yaanza Ubelgiji
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:58 0:00

Kesi kubwa kabisa katika historia ya Ubelgiji imeanza Jumatatu ambapo watu 10 wanaotuhumiwa kwa kujihusisha na mashambulizi ya mabomu ya kujitoa mhanga mjini Brussels mwaka 2016 ambayo yaliuua watu 32 na kujeruhi zaidi ya watu 300.

XS
SM
MD
LG