Sikiliza kile ambacho kampuni ya Adidas ambayo ndiyo yenye kutengeneza mipira ya Kombe la Dunia inavyoeleza kile ambacho kimebainishwa na teknolojia ya sensor zilizowekwa ndani ya mpira. Endelea kusikiliza hayo na mengine mengi kutoka kwa mwana michezo wa VOA Sunday Shomari aliyeko Qatar kushuhudia na kuripoti michuano hiyo...
Kampuni ya Adidas: Teknolojia yafichua goli halikufungwa na Ronaldo
Matukio
-
Februari 04, 2023
Wananchi wa Peru washinikiza kufanyika uchaguzi, waandamana
-
Februari 04, 2023
Mkazi wa Haiti anayejulikana kimataifa, akanusha kujihusisha na uhalifu
-
Februari 04, 2023
VOA Mitaani: Uamuzi wa Mahakama Kuu Kenya waibua hisia mseto
-
Februari 03, 2023
Seneta Michael Bennette ataka programu ya TikTok kuondolewa
-
Februari 03, 2023
Nairobi: Mkazi wa Dandora aeleza uchafuzi wa mazingira ulivyauathiri mto