Sikiliza kile ambacho kampuni ya Adidas ambayo ndiyo yenye kutengeneza mipira ya Kombe la Dunia inavyoeleza kile ambacho kimebainishwa na teknolojia ya sensor zilizowekwa ndani ya mpira. Endelea kusikiliza hayo na mengine mengi kutoka kwa mwana michezo wa VOA Sunday Shomari aliyeko Qatar kushuhudia na kuripoti michuano hiyo...
Kampuni ya Adidas: Teknolojia yafichua goli halikufungwa na Ronaldo
Matukio
-
Machi 05, 2024
Je, nini Super Tuesday?
-
Machi 05, 2024
Misaada ya kimataifa yaanza kuwasili Sudan
-
Februari 12, 2024
Polisi wapambana na waandamanai Kinshasa
-
Februari 06, 2024
Polisi wavambia bunge la Senegal na kuwaondoa wabunge wa upinzani.