Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 09:39

Duniani Leo September 15, 2020


Duniani Leo September 15, 2020
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Nchi za Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE, na mawaziri wa mambo ya nje wa Bahrain watatia Saini makubaliano leo na Israel katika Ikulu ya White House kuanzisha ushirikiano kamili kinyume na mpango wa amani wa nchi za kiarabu.

XS
SM
MD
LG