Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 10, 2026 Local time: 11:29

Duniani Leo Juni 25, 2020


Duniani Leo Juni 25, 2020
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:57 0:00

-Vyombo vya habari vya Malawi vimeripoti kuwa kiongozi wa upinzani anaongoza kwa asilimia 55 katika uchunguzi wa rais.

-Baadhi ya walimu na wanafunzi wa Afrika Kusini waandamana wakitaka shule zifungwe tena kufuatia kuongezeka kwa maambukizi ya COVID-19.
XS
SM
MD
LG