Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 08:54

DRC: Wakimbizi waeleza dhidi inayotokana na vita inayoendelea kuwatokomeza waasi wa M23


DRC: Wakimbizi waeleza dhidi inayotokana na vita inayoendelea kuwatokomeza waasi wa M23
please wait

No media source currently available

0:00 0:05:02 0:00

Wengi wao wakiwa ni wanawake na watoto wakaazi kutoka vijiji tofauti vya Ruchuru wakiwa wamekimbilia katika sehemu mbali mbali ikiwemo Goma kutokana na mapigano kati ya M23 na jeshi la serikali.

Hivi sasa wanaishi maisha ya dhiki kutokana na ukosefu wa huduma muhimu ikiwemo dawa, maji, chakula na makazi n.k. Ungana na mwandishi wa VOA akikuletea ushuhuda wa familia ambazo zimeathiriwa na hali hii ya kivita...

XS
SM
MD
LG