Serikali Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imepuuzilia vitisho vya kuwekewa vikwazo vya Marekani na Uingereza dhidi ya maafisa wake ambao wanaaminika kubana wapinzani na kutishia taratibu ya kupata kidemokrasia nchini humo
Msemaji wa serikali Kongo,Lambert Mende amesema Jumatatu kwamba hakuna sababu yeyote inayo toa ruhusa kwa Marekani au Uingereza kueleza nchi yake ki inachotakiwa kufanya katika njia ya kujipatia Demokrasia. Mwandishi wa VOA Saleh Mwanamilongo inaeleza kwa kina kutoka Kinshasa.