Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 09:03

CUF yatangaza kutomtambua Rais Shein na serikali yake


Kiongozi wa CUF, Maalim Seif Shariff Hamad akizungumza na wanahabari
Kiongozi wa CUF, Maalim Seif Shariff Hamad akizungumza na wanahabari

Chama cha Wananchi-CUF kimetangaza rasmi kutomtambua Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein pamoja na Serikali yake.

Hata hivyo chama hicho kilisema kitashiriki kikamilifu katika zoezi la kura ya maoni kuhusu katiba inayopendekezwa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hata kama uchaguzi huo utasimamia na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar inayoongozwa na mwenyekiti wake Alhajj Jecha Salim Jecha.

Ifuatayo ni ripoti ya mwandishi wa Sauti ya Amerika-VOA kutoka Zanzibar.

please wait

No media source currently available

0:00 0:02:44 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

Wakati huo huo mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka Zanzibar, Ali Makame alisema kwamba hii sio mara ya kwanza kwa Chama cha Wananchi-CUF kutoa kauli kama hiyo.

Bwana Makame alisema CUF ilishawahi kutoa matamshi ya kutomtambua rais aliyeko madarakani ambaye hakutoa upande wa CUF hapo mwaka 1995 ilitokea hivyo hivyo, mwaka 2000 na 2005 isipokuwa uchaguzi ambao ulifanyika mwaka 2010.

Sauti ya Amerika VOA ilizungumza na Ali Makame, mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka Zanzibar.

please wait

No media source currently available

0:00 0:02:55 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

XS
SM
MD
LG