Shapps ameambia kongamano mjini Londona kwamba ujasusi wa Uingereza na Marekani umethibitisha kwamba China inatoa msaada wa silaha kwa Russia.
Amesema kwamba kuna haja ya kufuatilia swala hilo kwa karibu sana kwa sababu China imekuwa ikidai kwamba haina upendeleo katika vita hivyo.
Ubalozi wa China nchini Marekani ulisema mnamo mwezi uliopita kwamba China haijatoa silaha kwa Russia, na kuongezea kwamba sio China haihusiki na vita vinavyoendelea Ukraine.
Ubalozi wa China mjini London haujatoa taarifa yoyote kuhusu madai hayo.
Forum