Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken ametetea uamuzi wa Marekani kuondoa majeshi yake nchini Afghanistan, akitoa kauli hiyo mbele ya jopo la wabunge wa Bunge la Marekani.
- Utawala wa Kijeshi wa Guinea Jumatano umeanza mazungumzo ya siku nne katika juhudi za kujenga muelekeo mpya wa nchi