Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 10:21

Biden aeleza umuhimu wa mpango wa miundombinu na ajira


Biden aeleza umuhimu wa mpango wa miundombinu na ajira
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Rais wa Marekani Joe Biden asisitiza juu ya umuhimu wa kupitisha mpango wake mkubwa wa ukarabati wa miundombinu na kubuni ajira.

-Ethiopia yadaiwa kuwakamata na kuwashikilia bila ya kuwafungulia mashtaka maelfu ya raia wake huko Tigray kwa miezi kadhaa.

-Rais wa Afrika Kusini amekubali chama tagala kilishindwa kuzuia rushwa wakati wa utawala wa Jacob Zuma.
XS
SM
MD
LG