Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 01:56

Baraza la Usalama lakutana kujadili mzozo wa kisiasa wa Haiti


Baraza la Usalama lakutana kujadili mzozo wa kisiasa wa Haiti
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:01 0:00

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lafanya kikao cha dharura kujadili hali ya nchini Haiti baada ya rais wa nchi hiyo kuuwawa.


- Idadi ya watu waliofariki kutokana na COVID-19 duniani kote yavuka milioni 4.

- Rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma aanza kutumikia kifungo cha miezi 15 gerezani.
XS
SM
MD
LG