Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Aprili 27, 2025 Local time: 03:14

Mbunge awasilisha bajeti nchini Uganda


Rais Yoweri Museveni wa Uganda.
Rais Yoweri Museveni wa Uganda.

Mataifa ya Afrika mashariki Jumatano yamesoma mapendekezo ya bajeti zao kwa mwaka wa fedha kwa kipindi cha mwaka 2016/17, lakini nchini Uganda shughuli hiyo inasemekana kukumbwa na hali ya sintofahamu kutokana na kutokuwa na waziri wa fedha. Lakini Rais Museveni alimteuwa mbunge Mataiya Kasaija kuwasilisha hotuba hiyo ya bajeti.

please wait

No media source currently available

0:00 0:03:02 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

Mwandishi wetu wa Kampala, Kennes Bwire anaeleza bajeti hiyo ni kubwa katika historia ya Uganda ikifikia shilingi trilioni 26 .

Wananchi wa Uganda inaripotiwa hawaoni afueni yeyote katika bajeti ya nchi hiyo kwa mwaka huu.

XS
SM
MD
LG