Ofisa Preston Hemphill, amefutwa kazi katika jeshi la polisi, lakini bado hajafunguliwa mashtakata kwa makosa yoyote.
Polisi wa Memphis haikuweka wazi ushiriki wa afisa huyo wa polisi katika tukio la kumkamata na kumpiga Nichols.
Maafisa wengine watano wamefunguliwa mashatika kwa mauaji ya kiwango cha pili, kupiga, kuteka, kutowajibika na ukandamizaji wakiwa kazini.
Maafisa hao watano wote ni weusi na pia walifutwa kazi. Polisi ilitoa picha za video zikionyesha polisi watano wakimpiga vibaya Nichols mapema mwezi huu baada ya kumsimamisha barabarani.
Facebook Forum