Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Machi 18, 2025 Local time: 23:46

Ocampo akutana na viongozi wa Kenya


Mwendesha mashitaka mkuu wa ICC Moreno Ocampo afanya mkutano wa faragha na Rais Kibaki na waziri mkuu Odinga. Viongozi wa nchi 11 wakutana Burundi kuzungumzia amani,usalama na maendeleo.

XS
SM
MD
LG