Mwendesha mashitaka mkuu wa ICC Moreno Ocampo afanya mkutano wa faragha na Rais Kibaki na waziri mkuu Odinga. Viongozi wa nchi 11 wakutana Burundi kuzungumzia amani,usalama na maendeleo.
Mwendesha mashitaka mkuu wa ICC Moreno Ocampo afanya mkutano wa faragha na Rais Kibaki na waziri mkuu Odinga. Viongozi wa nchi 11 wakutana Burundi kuzungumzia amani,usalama na maendeleo.