Mwendesha mashitaka wa mahakama ya ICC Louis Moreno Ocampo atazuru Kenya wiki ijayo kushauriana na viongozi kuhusu wachochezi wa ghasia za baada ya uchaguzi.
Mwendesha mashitaka wa mahakama ya ICC Louis Moreno Ocampo atazuru Kenya wiki ijayo kushauriana na viongozi kuhusu wachochezi wa ghasia za baada ya uchaguzi.