Wataalamu wa masuala ya Katiba na viongozi wa kisiasa Kenya wanahudhuria kongamano kuhusu marekebisho ya Katiba. Tume ya uchaguzi ya Gabon inakukutana na wagombea leo kuhakikisha matokeo.
Wataalamu wa masuala ya Katiba na viongozi wa kisiasa Kenya wanahudhuria kongamano kuhusu marekebisho ya Katiba. Tume ya uchaguzi ya Gabon inakukutana na wagombea leo kuhakikisha matokeo.