WHO yachunguza kesi moja inayodhaniwa ni mafua ya nguruwe huko Benin. Ikithibitika itakua ya kwanza barani Afrika. Ushelsheli imeripoti huwenda kuna watu wanne wameambukizwa.
WHO yachunguza kesi moja inayodhaniwa ni mafua ya nguruwe huko Benin. Ikithibitika itakua ya kwanza barani Afrika. Ushelsheli imeripoti huwenda kuna watu wanne wameambukizwa.