Baraza la Wawakilishi la Marekani likiwa dhidi ya upinzani wa upande wa mrengo wa kulia wa chama cha Republican walio wengi katika bunge hilo, walipiga kura Jumamosi kwa dola bilioni 60.8 kama msaada mpya wa kijeshi kwa Ukraine, huku Seneti ikitarajiwa kupitisha hatua hiyo wiki hii na kisha Biden kutia saini.
Nadhani msaada huu utaimarisha vikosi vya jeshi, natoa maombi ambayo tunahitaji sana, ambayo maelfu ya wanajeshi wanahitaji sana Zelenskyy aliambia kipindi cha Meet the Press cha NBC, akizungumza kupitia mkalimani.
Forum