Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Juni 09, 2026 Local time: 16:16

Kamati ya bunge kuchunguza mzozo wa gesi Mtwara.

Mzozo wa gesi Mtwara Tanzania

Maandamano kupinga uchimbaji gesi Mtwara
1/7 Maandamano kupinga uchimbaji gesi Mtwara
Kwa takriban siku nne mfululizo wakazi wa Mtwara wamekuwa wakiandamana na kuchomo mota mali ya wakuu wa serikali wanaohusika na mpango wa kusafirisha gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam
Magari ya serikali yaliyochomwa moto Mtwara
2/7 Magari ya serikali yaliyochomwa moto Mtwara
Kwa takriban siku nne mfululizo wakazi wa Mtwara wamekuwa wakiandamana na kuchomo mota mali ya wakuu wa serikali wanaohusika na mpango wa kusafirisha gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam
Bango kuhusiana na mzozo wa gesi Mtwara
3/7 Bango kuhusiana na mzozo wa gesi Mtwara
Kwa takriban siku nne mfululizo wakazi wa Mtwara wamekuwa wakiandamana na kuchomo mota mali ya wakuu wa serikali wanaohusika na mpango wa kusafirisha gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam
Nyumba yawaka moto Mtwara kufuatia maandamano dhidi ya kusafirisha gesi kutioka Mtwara hadi Dar es Salaam
4/7 Nyumba yawaka moto Mtwara kufuatia maandamano dhidi ya kusafirisha gesi kutioka Mtwara hadi Dar es Salaam
Kwa takriban siku nne mfululizo wakazi wa Mtwara wamekuwa wakiandamana na kuchomo mota mali ya wakuu wa serikali wanaohusika na mpango wa kusafirisha gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam
Nyumba yawaka moto Mtwara
5/7 Nyumba yawaka moto Mtwara
Kwa takriban siku nne mfululizo wakazi wa Mtwara wamekuwa wakiandamana na kuchomo mota mali ya wakuu wa serikali wanaohusika na mpango wa kusafirisha gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam
Polisi wakamata waandamanaji walosababisha vurugu Mtwara
6/7 Polisi wakamata waandamanaji walosababisha vurugu Mtwara
Kwa takriban siku nne mfululizo wakazi wa Mtwara wamekuwa wakiandamana na kuchomo mota mali ya wakuu wa serikali wanaohusika na mpango wa kusafirisha gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam
Nyumba ya mbunge iliyovunjwa na waandamanaji Mtwara
7/7 Nyumba ya mbunge iliyovunjwa na waandamanaji Mtwara
Kwa takriban siku nne mfululizo wakazi wa Mtwara wamekuwa wakiandamana na kuchomo mota mali ya wakuu wa serikali wanaohusika na mpango wa kusafirisha gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam
Previous slide
Next slide

Bunge la Tanzania limeunda kamati maalumu ya wabunge watakaokwenda mikoa ya kusini Mtwara na Lindi kutathmini mzozo wa gesi katika mikoa hiyo.

Spika wa bunge Anne Makinda amesema kamati hiyo itarejesha matokeo yatakayopatikana na baadae kujadiliwa katika baraza la bunge lililoanza Jumatatu.
Wakazi wa mtwara wanapinga Serikali ya Tanzania kutumia bomba kusafirisha gesi iliyogundulika mkoani humo kwenda Dar es salaam hali iliyozua ghasia na kusababisha maafa ya watu.

Hadi sasa Serikali ya Tanzania imesisitiza kuendelea na msimamo wake wa kusafirisha gesi hiyo . Tayari kuna vikao kadhaa vimefanywa ili kuona jinsi ya kutatua mzozo huo lakini hakuna mafanikio yoyote.

Hivi karibuni rais Jakaya Kikwete alinukuliwa na vyombo vya habari vya Tanzania akisema kuwa kama kila mkoa utagomea rasilimali zake basi nchi itapasuka vipandevipande hali iliyochechea tafrani.
XS
SM
MD
LG