Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 15:02

Wachambuzi wa kisiasa wanasema ghasia za Mombasa hazitokani na ugomvi wa kidini


Kenya Slain Muslim Cleric
Kenya Slain Muslim Cleric
wachambuzi wa kisiasa, wanaharakati, viongozi wa kidini na kisiasa katika mkoa wa Pwani nchini Kenya wanasema kwamba ghasia za siku mbili zilizoshuhudiwa katiika mji wa pili kwa ukubwa nchini Kenya, Mombasa hauhusiani na ugomvi wa kidini.
please wait

No media source currently available

0:00 0:08:01 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

Mtaalamu wa historia ya jamii ya kislamu katika kanda ya Afrika kusini mwa janga la Sahara Hassan Mwachimwako, anasema ghasia kweli zinatokana na hasira za vijana wa kislamu lakini walosababisha hasara kubwa ni makundi ya kidini.
XS
SM
MD
LG