Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Juni 09, 2026 Local time: 09:37

Goma yatekwa na waasi wa M23

Wapiganaji wa M23 wauteka Goma

Wakazi wa Goma wakimbia baada ya mji wao kutekwa na wapiganaji wa M23
1/12 Wakazi wa Goma wakimbia baada ya mji wao kutekwa na wapiganaji wa M23
Wapiganaji wa M23 wauteka mji wa Goma mashakiri ya jamhuri ya Kidemokrasia ya kongo baada ya kupambana na majeshi ya serikali kwa zaidi ya wiki moja.
Polisi wa mji wa Goma wakusanyika katika uwanja wa michezo Goma siku ya pili baada ya M23 kuuteka mji huo
2/12 Polisi wa mji wa Goma wakusanyika katika uwanja wa michezo Goma siku ya pili baada ya M23 kuuteka mji huo
Wapiganaji wa M23 wauteka mji wa Goma mashakiri ya jamhuri ya Kidemokrasia ya kongo baada ya kupambana na majeshi ya serikali kwa zaidi ya wiki moja.
Wanajeshi wa serikali ya Kongo baada ya kushindwa na wapiganaji wa M23.
3/12 Wanajeshi wa serikali ya Kongo baada ya kushindwa na wapiganaji wa M23.
Wapiganaji wa M23 wauteka mji wa Goma mashakiri ya jamhuri ya Kidemokrasia ya kongo baada ya kupambana na majeshi ya serikali kwa zaidi ya wiki moja.
Wapiganaji wa M23 waingia Goma
4/12 Wapiganaji wa M23 waingia Goma
Wapiganaji wa M23 wauteka mji wa Goma mashakiri ya jamhuri ya Kidemokrasia ya kongo baada ya kupambana na majeshi ya serikali kwa zaidi ya wiki moja.
Seorang pria berjalan di sebuah bukit pasir Mhamid el-Ghizlane bersama unta-untanya, di kawasan gurun Sahara di Maroko. 
5/12 Seorang pria berjalan di sebuah bukit pasir Mhamid el-Ghizlane bersama unta-untanya, di kawasan gurun Sahara di Maroko. 
Wapiganaji wa M23 wauteka mji wa Goma mashakiri ya jamhuri ya Kidemokrasia ya kongo baada ya kupambana na majeshi ya serikali kwa zaidi ya wiki moja.
DRC M23 rebels in Rutshuru
6/12 DRC M23 rebels in Rutshuru
Wapiganaji wa M23 wauteka mji wa Goma mashakiri ya jamhuri ya Kidemokrasia ya kongo baada ya kupambana na majeshi ya serikali kwa zaidi ya wiki moja.
DRC waasi wa M23 mitaani Goma
7/12 DRC waasi wa M23 mitaani Goma
Wapiganaji wa M23 wauteka mji wa Goma mashakiri ya jamhuri ya Kidemokrasia ya kongo baada ya kupambana na majeshi ya serikali kwa zaidi ya wiki moja.
Wapiganaji wa M23 wawasili Goma
8/12 Wapiganaji wa M23 wawasili Goma
Wapiganaji wa M23 wauteka mji wa Goma mashakiri ya jamhuri ya Kidemokrasia ya kongo baada ya kupambana na majeshi ya serikali kwa zaidi ya wiki moja.
DRC waasi wa M23 wapiga doria Goma
9/12 DRC waasi wa M23 wapiga doria Goma
Wapiganaji wa M23 wauteka mji wa Goma mashakiri ya jamhuri ya Kidemokrasia ya kongo baada ya kupambana na majeshi ya serikali kwa zaidi ya wiki moja.
Msemaji wa M23 Vianney Kazarama
10/12 Msemaji wa M23 Vianney Kazarama
Wapiganaji wa M23 wauteka mji wa Goma mashakiri ya jamhuri ya Kidemokrasia ya kongo baada ya kupambana na majeshi ya serikali kwa zaidi ya wiki moja.
Utulivu unaone3kama umerudi Goma Jumanne jioni
11/12 Utulivu unaone3kama umerudi Goma Jumanne jioni
Wapiganaji wa M23 wauteka mji wa Goma mashakiri ya jamhuri ya Kidemokrasia ya kongo baada ya kupambana na majeshi ya serikali kwa zaidi ya wiki moja.
Wanajeshi wa serikali ya Kongo baada ya kushindwa nguvu na wapiganaji wa M23.
12/12 Wanajeshi wa serikali ya Kongo baada ya kushindwa nguvu na wapiganaji wa M23.
Wapiganaji wa M23 wauteka mji wa Goma mashakiri ya jamhuri ya Kidemokrasia ya kongo baada ya kupambana na majeshi ya serikali kwa zaidi ya wiki moja.
Previous slide
Next slide


Wapiganaji wa kundi la waasi la M23 huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congolwamechukua udhibiti wa mji wa Goma, risasi na mizinga ilirindima kwenye mji huo tangu jana usiku ambapo serikali ya DRC ilidai bado inaudhibiti wa mji wa Goma.

Lakini mwandishi wa VOA aliyeko Goma anaripoti kuwa askari wa jeshi la serikali FARDC wameukimbia mji huo na waasi wameukamata mpaka uwanja wa ndege wa Goma na hivi sasa mji uko chini ya udhibiti wa waasi hao.

Kwa mujibu wa wizara ya mambo ya nje ya Marekani tayari watu 60,000 wameshapoteza makazi yao na wengi wanakimbilia Bukavu.

Hata hivyo Jumanne wafanya kazi wa Umoja wa Mataifa MONUSCO na viongozi wa serikali ya Congo walibebwa kwa ndege za UN na kupelekwa Bukavu na wengine Kinshasa. Jeshi la kulinda amani la umoja wa mataifa limeonekana katika mji likiwa katika vifaru vyao.

Waasi wanashikilia kwa sasa radio ya serikali na Uwanja wa ndege pamoja na mipaka ya Rwanda na DRC.
XS
SM
MD
LG