Dzhumokhon Kurbonov, raia wa Tajikistan anatuhumiwa kwa kuwapatia washambuliaji njia za mawasiliano na ufadhili
April 19 mawaziri wao wa ulinzi walifanya mkutano kwa lengo la kuleta “mwanzo mpya” katika mahusiano ya nchi hizo mbili.
Wakati huo huo Chuo Kikuu cha Columbia kinaendelea na mazungumzo na wale walio katika kambi ya wanafunzi wanaounga mkono Wapalestina
Shambulizi hilo la anga lilifanywa na makombora ya masafa ya balistiki na yale yanayosafiri umbali mrefu
Raia wa Afrika Kusini wanapiga kura Mei 29 miongo mitatu baada ya uchaguzi wa kwanza wa kidemokrasia mwaka 1994 uliomaliza utawala wa wazungu
Mahakama ilitoa uamuzi kutoruhusiwa ombi kutoka kwa vyama vya mahakimu kuiona kuwa Mali ilikuwa na mapungufu ya kisheria
Wakati Tanzania ikiadhimisha siku ya Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar, uliotimiza miaka 60 Ijumaa, Rais Samia Suluhu Hassan amewataka vijana nchini humo kuuenzi na kuulinda muungano.
Baraza Kuu la Mawasiliano la Burkina Faso (CSC) limetangaza kusimamisha matangazo na vipindi vya BBC/ Africa na VOA kufuatia habari iliyotangazwa kuhusu ripoti ya Human Rights Watch inayolishutumu Jeshi la Burkinabe kwa udhalilishaji mbalimbali wanaowafanyia raia.
Benin, Liberia na Sierra Leone siku ya Alhamisi zimezindua mpango mkubwa wa chanjo unaojulikana Africa-focused initiative mpango unaotumainiwa kuokoa maisha ya maelfu ya watoto kila mwaka kote barani Afrika.
Misri imetuma ujumbe wa ngazi ya juu Israel, Ijumaa kwa matumaini ya kufikia makubaliano ya kusitisha mapigano na Hamas, Gaza, maafisa wawili wamesema.
Serikali ya Somalia imekiri kwamba usambazaji wa mgao kwa wanajeshi wake wasomi waliopata mafunzo Marekani umepelekwa kwingine ndai ya vitengo vyake ya jeshi.
Jeshi la Kenya lilifanya operesheni Alhamisi kuwaokoa wahanga wa mvua kubwa iliyosababisha vifo vya darzeni za watu kote Afrika Mashariki katika muda wa mwezi mmoja uliopita.
Pandisha zaidi