Jumatano, Mei 22, 2013 Local time: 03:46

Habari / Afrika


20:52 - 20:57 Jumatatu 20 Mei

Mahojiano na Joseph Odondo

Polisi wavamia ofisi za Daily Monitor na kuanza upekuzi wa kutafuta barua inayohusiana na ripoti ya urithi wa kiti cha rais


21:36 - 21:54 Ijumaa 17 Mei

"Live Talk"- Mfumo mpya wa utawala Kenya

Mazungumzo juu ya mfumo mpya wa utawala Kenya na changamoto za utawala.


19:51 - 20:05 Jumatano 15 Mei

Mahojiano na Deus Kibamba

Mahojiano na Deus Kibamba.


18:01 - 18:05 Jumamosi 11 Mei

Vijimambo - mwanamke arudi baada ya miaka 20 - 4:32

Miongoni mwa vituko vya wiki hii mwanamke arudi nyumbani baada ya kutoweka kwa miaka 20 huko magharibi mwa Kenya


16:54 - 17:13 Jumamosi 11 Mei

Live Talk - Mustakbal wa Somalia

Balozi Augustine Mahiga anazungumzia juu ya changamoto zinazoikabili serikali mpya ya Somalia na mustakbal wa nchi hiyo hivi sasa.


21:28 - 21:31 Jumanne 7 Mei

Mahojiano na Balozi Mahiga - 3:22

Mkutano wa viongozi juu ya Somalia umemalizika Londo kwa kuahidi msaada mkubwa wa maendeloe kwa serikali mpya


21:28 - 21:32 Jumanne 7 Mei

Mahojiano na Daud Wesa - 4:22

Mkutano wa London ni muhimu kuitambulisha serikali mpya na kuna matumaini makubwa ya kupata msaada.


22:04 - 22:23 Ijumaa 3 Mei

Mjadala wa "Live Talk" juu ya Haki za Binadam Tanzania


04:23 - 04:25 Jumatano 17 Apr

Wabunge wafukuzwa kutoka bunge la Uganda - 2:50

Wabunge wa chama tawala cha MRN wanaodaiwa wamekihama chama wamefukuzwa kutoka bungeni .


06:45 - 06:49 Jumanne 9 Apr

Matayarisho ya kuapishwa rais wa nne Kenya yamekamilika - 4:59

wakenya wasubiri kwa hamu sherehe za kihistoria za kuapishwa rais mpya aliyechaguliwa katika uchaguzi wa amani.


06:21 - 06:24 Jumatano 27 Mac

Wakenysa wasubiri uwamuzi wa mahakama - 3:00

Mahakama kuu ya Kenya imeanza kusikiliza malalamiko ya mungano wa CORD kuhusiana na matokeo ya uchaguzi wa rais


06:56 - 07:00 Ijumaa 8 Mac

Mahojiano na Profesa Kimani Njogu - 4:11

Lazima wanasiasa waiachie IEBC kuendelea na kazi zake


23:25 - 23:28 Alhamisi 7 Mac

Matokeo kutangazwa Ijumaa - 3:08


23:18 - 23:23 Ijumaa 22 Feb

Wasifu wa James Ole Kiyapi

Ole Kiyapi ni mgeni katika siasa za Kenya na anamatumaini kuleta damu mpya katika mageuzi nchini humo.


23:15 - 23:18 Ijumaa 22 Feb

Wasifu wa Paul Mwite

Muite mwanasheria muasisi wa chama cha Safina anamatumaini ya kushinda na kuleta mabadiliko makubwa nchini Kenya


23:13 - 23:16 Ijumaa 22 Feb

Wasifu wa Raila Odinga

Raila Odinga waziri mkuu amekuwa akiongoza katika uchunguzi wa maoni na anatarajia safari hii atapata ushindi kwa urahisi kuliko wakati wa uchaguzi wa 2007


23:07 - 23:10 Ijumaa 22 Feb

Wasifu wa Martha Karua

Martha Karua ni mwanamke wa kwanza kugombania kiti cha rais Kenya


16:03 - 16:05 Alhamisi 21 Feb

Ripoti ya Dina Chahali, Dar Es Salaam


19:15 - 19:18 Jumatatu 18 Feb

Ripoti ya Dinah Chahali

Askofu Mkuu alaumu idara za usalama kwa kushindwa kudhibiti ghasia za kidini.


19:12 - 19:15 Jumatatu 18 Feb

Uhuru ajibu tuhuma za Raila

Uhuru amejibu tuhuma za Raila kwamba serikali inapanga njama ya kumibia kura wakati wa uchaguzi

Mitaani

Loading
12:00:00 / -:--:--