Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Mei 02, 2024 Local time: 04:36

Kamshina wa UN atembelea kambi za watu waliokoseshwa makazi DRC


Kamshina wa UN atembelea kambi za watu waliokoseshwa makazi DRC
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Kamishna mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia masuala ya haki za binadamu ametembelea kambi za watu waliokoseshwa makazi kaskazini mashariki mwa DRC.

Moscow imekwepa kulaani shambulizi la Iran dhidi ya Israel, huku ikiwataka viongozi wa Israel kujizuia.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG