Rais wa zamani wa Misri Hosni Mubarak ambaye alikuwa kizuizini tangu Aprili 2011 Alhamisi ametolewa jela na kuhamishiwa kwenye hospitali moja ya kijeshi huko Cairo ataendelea kutumikia kifungo cha nje.
Mchambuzi na mwanafunzi wa chuo kikuu cha Al -Azhar Sherif Ahmad Abbas amesema hali hii inaweza kuwa pigo kwa wale walioshiriki mapinduzi ya Januari 25, 2011.
Ameongeza hii ni kwasababu wananchi walioshiriki kwa asilimia kubwa katika mapinduzi hayo kwa hiyo inaweza kupelekea wananchi kutokuwa na imani na mahakama zao na kuhisi kilichotokea si cha haki bali ni dhuluma.Kusikiliza mahojiano hayo bofya hapa.
Mchambuzi na mwanafunzi wa chuo kikuu cha Al -Azhar Sherif Ahmad Abbas amesema hali hii inaweza kuwa pigo kwa wale walioshiriki mapinduzi ya Januari 25, 2011.
Ameongeza hii ni kwasababu wananchi walioshiriki kwa asilimia kubwa katika mapinduzi hayo kwa hiyo inaweza kupelekea wananchi kutokuwa na imani na mahakama zao na kuhisi kilichotokea si cha haki bali ni dhuluma.Kusikiliza mahojiano hayo bofya hapa.