Upatikanaji viungo

Jumatatu, Aprili 13, 2026 Local time: 01:45
Jumatatu, Aprili 13, 2026 Local time: 01:45

Wataalamu wa uchumi Tanzania wanaishauri serikali nchini humo kubuni mikakati thabiti ya kudhibiti ongezeko la bei za nafaka

Mhadhiri msaidizi kitivo cha usimamizi wa biashara chuo kikuu huria cha Tanzania Vicent Stanslaus amesema serikali inahitaji kuwekeza katika kilimo cha umwagiliaji ambacho hakitategemea mvua pamoja na kujenga viwanda vya mbolea nchini ili kuwasaidia wakulima kurahisisha kilimo na kupunguza gharama


Wataalamu wa uchumi Tanzania wanaishauri serikali nchini humo kubuni mikakati thabiti ya kudhibiti ongezeko la bei za nafaka
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00
XS
SM
MD
LG