Upatikanaji viungo

Jumanne, Aprili 15, 2025 Local time: 05:35
Jumanne, Aprili 15, 2025 Local time: 05:35

Kesi ya Uchaguzi wa Rais yaendelea katika Mahakama ya Juu Kenya

Mawakili wanaomwakilisha Raila Odinga katika kesi ya kupinga uchaguzi wamesema kuwa uchaguzi wa urais wa Agosti 9, 2022 ulitokana na hila za IEBC na Rais mteule William Ruto. Kulingana na Wakili Mkuu James Orengo, mahakama hiyo iliwaruhusu kutazama seva yake moja tu kati ya nane.


Kesi ya Uchaguzi wa Rais yaendelea katika Mahakama ya Juu Kenya
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00
XS
SM
MD
LG