Upatikanaji viungo

Jumatatu, Aprili 13, 2026 Local time: 02:05
Jumatatu, Aprili 13, 2026 Local time: 02:05

Rwanda yaonya kuwa itajibu mashambulizi ya uchokozi kutoka DRC

Serikali ya Rwanda imeonya kwamba itakuwa tayari kujibu mashambulizi kutoka Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, endapo kile inachokitaja kama uchokozi wa kupigwa makombora na jirani yake utaendelea.


Rwanda yaonya kuwa itajibu mashambulizi ya uchokozi kutoka DRC
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00
XS
SM
MD
LG