Upatikanaji viungo

Jumatano, Aprili 02, 2025 Local time: 05:17
Jumatano, Aprili 02, 2025 Local time: 05:17

Bunge la Seneti nchini Kenya latarajiwa kupigia kura muswada wa uteuzi wa viti maalum

Bunge la Seneti nchini Kenya linatarajiwa kujadili na kupigia kura muswada unaolazimisha uteuzi wa viti maalum uwe wa watu waliozaliwa au kusajiliwa kuwa wapiga kura katika majimbo hayo badala ya kuchukuliwa na wanasiasa wasiozaliwa maeneo hayo.


Bunge la Seneti nchini Kenya latarajiwa kupigia kura muswada wa uteuzi wa viti maalum
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00
XS
SM
MD
LG