Rais wa Eritrea afanya ziara ya kihistoria Ethiopia

Rais wa Eritrea Isaias Afwerki, aliyesimama mbele ya Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Addis Ababa, Ethiopia, Jumamosi, July 15, 2018.

Waziri Mkuu wa Ethiopia akiwa na mgeni wake Rais wa Eritrea

Baadhi ya viongozi wa Ethiopian waliofika kumpokea Rais wa Eritrea

Watumbuizaji wa ngoma za asili Ethiopia waliofika kumkaribisha Rais wa Eritrea Isaias Afwerki

Watumbuizaji wa ngoma za asili wa Ethiopia wakicheza kumkaribisha Rais wa Eritrea Isaias Afwerki

Wananchi wa Ethiopia wakishangilia kuwasili kwa Rais wa Eritrea's Isaias Afwerki

Wapanda farasi wa Ethiopia wakishiriki katika kumkaribisha Rais wa Eritrea Isaias Afwerki

Bendera za Ethiopia and Eritrea zikipepea Addis Ababa

Wapanda farasi wa Ethiopia wakihudhuria sherehe za kumkaribisha Rais wa EritreaIsaias Afwerki

Rais wa Eritrea Isaias Afwerki, amepokelewa na Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Addis Ababa, Ethiopia, Jumamosi, July 15, 2018.