Watu 31,974 wamethibitishwa kufariki kutokana na tetemeko la ardhi Uturuki

Mwanamke aliyekaa juu ya mabaki ya nyumba zilizoanguka baada ya tetemeko la ardhi mjini Nurdagi, kusini mwa Uturuki FEB 7, 2023

Idadi ya watu ambao wamefariki kutokana na tetemeko la ardhi nchini Uturuki imefikia watu 31, 974.

Idhara inayosimamaia majanga ya Uturuki imesema Jumanne kwamba karibu watu 195, 962 wameokolewa kusini mwa Uturuki na kupelekwa sehemu salama.