Tanzania yawaaga rasmi wanajeshi waliouwawa DRC

Miili ya wanajeshi 14 ikiwasili katika viwanja vya Makao Makuu ya JWTZ kwa ajili ya sherehe ya kuagwa

Waziri mkuu akitoa heshima ya mwisho kwa miili ya marehemu

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwapa mkono wa pole wafiwa

Wanajeshi wakitoa heshima zao za mwisho kuiaga miili ya wanajeshi wenzao

Tanzania Soldiers

Majaliwa at Farewell

Miili ya wanajeshi wa Tanzania yaagwa rasmi