Wademokrat wachukuwa uongozi wa Bunge la Marekani - Congress
Kiongozi wa Bunge la Marekani - Congress Nancy Pelosi (D-CA) akishangiliwa na Mwakilishi Steny Hoyer (D-MD) na wawakilishi wengine baada ya kupendekezwa kuwa Spika wa Bunge wakati Baraza la Wawakilishi likikutana kuanza kikao chake cha 116 mjini Washington.
Kiongozi wa Wademokrat ndani ya Bunge la Marekani - Congress Nancy Pelosi (D-CA) akisalimiana na Mwakilishi John Lewis (D-GA) kabla ya kikao cha 116 kuanza Bungeni, Washington, Jan. 3, 2019.
House Democratic Leader Nancy Pelosi of California, who is expected to lead the 116th Congress as speaker of the House, and House Minority Whip Steny Hoyer, D-Md., are applauded at the Capitol in Washington, Jan. 3, 2019.
Ilhan Omar, D-Minn., akizungumza ndani ya ukumbi wa Bunge kabla ya kuapishwa huko Washington, Jan. 3, 2019.
Mwakilishi Rashida Tlaib (D-MI), Mpalestina-Mmarekani wa kwanza kuchaguliwa kuingia katika Bunge akiwa na wananchi wanaomuunga mkono nje ya ofisi yake katika jengo la Longworth House Office Building (LHOB), Washington, D.C., Jan. 3, 2019.
Mwakilishi wa Alexandria Ocasio-Cortez (D-NY) akipiga picha ya selfie na mwakilishi Sheila Jackson Lee (D-TX) ndani ya bunge kabla ya kikao cha kuapishwa kuanza.
Kiongozi wa Wademokrat Nancy Pelosi wa California, ataye ongoza Bunge la Marekani - Congress katika kikao cha 116 kama spika, kiongozi wa walio wachache katika Baraza la Seneti Chuck Schumer wa New York, akiwa amesimama na spika katika ukumbi wa Bunge mjini Washington, Alhamisi, Jan. 3, 2019. (AP Photo/Carolyn Kaster)
Mwakilishi Eric Swalwell (D-CA) akimshikilia binti yake Kathryn wakati Bunge likiendesha kikao chake cha 116 Washington, Jan. 3, 2019.