Wabunge wavutana makoti ndani ya bunge Tanzania
Wabunge wasimama ndani ya bunge la Tanzania kabla ya kuzuka vurugu alhamisi
Mabishano yapamba moto ndani ya bunge la Tanzania Dodoma siku ya alhamisi, Sep. 5 2013
Wabunge wa tanzania wavutana mashati bungeni
Vurugu latokea bungeni Tanzania wajumbe wa CHADEMA wajadiliana
Vurugu latokea bungeni Tanzania mbunge Mbilinyi avutwa koti
Vurugu latokea bungeni Tanzania mbunge Mbatia apigwa na butwa
Vurugu lazuka bungeni Tanzania mbunge Mbilinyi apigania microphone
Vurugu latokea bungeni Tanzania mbunge Mbilinyi atolewa nje ya bunge
Vurugu lazuka bungeni Tanzania mbunge Mbilinyi