Kerry akamilisha ziara Afrika

Waziri ya mambo ya nchi za nje John Kerry akizungumza na waandishi habari mjini Luanda ambako alisifu uwongozi wa taifa hilo lenye utajiri wa mafuta katika kutanzua mizozo ya Afrika Luanda, Angola, May 5, 2014.

Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Marekani John Kerry akikutana na viongozi wa asasi za kiraia nyumbani kwa balozi wa Marekani mjini Luanda, Angola, May 4, 2014.

Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Angola  Georges Rebelo Chicoti, kulia, akitembea pamoja na waziri mwenzake wa Marekani John Kerry kabla ya kukutana katika Wizara ya fedha Luanda, Angola, May 5, 2014.

waziri John Kerry akihusudu mandhari ya mto Kongo karibu ya nyumbani kwa Balozi wa Marekani mjini Kinshasa, DRC, May 3, 2014.

U.S. Secretary of State John Kerry and entrepreneur Patricia Nzolantima point at an ultrasound machine during a tour of a Sustainable Investment in Sub-Saharan Africa medical supply store in Kinshasa, DRC, May 3, 2014.

U.S. Secretary of State John Kerry applauds a local dancer prior to speaking prior to speaking about U.S. policy in Africa at the Gullele Botanic Garden in Addis Ababa, Ethiopia, May 3, 2014.

U.S. Secretary of State John Kerry meets with Olusegun Obasanjo, chairman of the African Union's South Sudan Commission of Inquiry, in Addis Ababa, Ethiopia, May 2, 2014. 

South Sudan's President Salva Kiir chats with U.S. Secretary of State John Kerry at the president's office in Juba, South Sudan, May 2, 2014. 

U.S. Secretary of State John Kerry meets with civil society leaders at the U.S. embassy to compel authorities on both sides of the fighting to put a stop to the violence, Juba, South Sudan, May 2, 2014. 

 

South Sudanese Foreign Minister Barnaba Marial Benjamin welcomes U.S. Secretary of State John Kerry upon his arrival at Juba International Airport, South Sudan, May 2, 2014.