Mashambulizi ya Islamic State yawasababisha maelfu ya Wakurdi kukimbia Syria

Wakimbizi wa Kikurdi kutoka Syria wabeba mali waloweza kukimbia nazo wakati wapiganaji wa IS wakikaribia kijiji chao.

Wanajeshi wa Uturuki wakishika doria wakati wakimbizi wa Kikurdi kutoka Syria wanasubiri kwenye uzio wa mpakani wakisubiri kuruhusiwa kuingia katika kijiji cha kusini magahribi cha Suruc katika jimbo la Sanliufa, Uturuki siku ya Alhamisi Sept 18, 2014.

Turkish soldiers stand guard as Syrian Kurds cross the border fence into Turkey near the southeastern town of Suruc in Sanliurfa province, Sept. 19, 2014.

Wanajeshi wa Uturuki wakishika doria wakati wakimbizi wa Kikurdi kutoka Syria wanasubiri kwenye uzio wa mpakani wakisubiri kuruhusiwa kuingia katika kijiji cha kusini magahribi cha Suruc katika jimbo la Sanliufa, Uturuki siku ya Alhamisi Sept 18, 2014.  

Mwanajeshi wa Uturuki wakishika doria wakati wakimbizi wa Kikurdi kutoka Syria wanasubiri kwenye uzio wa mpakani wakisubiri kuruhusiwa kuingia katika kijiji cha kusini magahribi cha Suruc katika jimbo la Sanliufa, Uturuki siku ya Alhamisi Sept 18, 2014