Afrika Kusini yasubiri matokeo ya uchaguzi

Election officials start the ballot-counting process at a polling station during municipal elections in Manenberg on the outskirts of Cape Town, South Africa, Aug. 3, 2016.

Huku wananchi wa Afrika Kusini wakisubiri matokeo rasmi ya uchaguzi wa manispaa na huku matokeo ya awali yakiashiria kwamba chama cha ANC kingpoteza baadhi ya viti vyake, BMJ Muriithi alizungumza na mwandishi wa habari wa kujitegemea, Christine Esipisu, akiwa mjini Johannesburg, na kwanza akamuuliza taswira ilikuwaje hasa kwa upande wa chama cha ANC, ambacho kilikuwa kimeelezea imani yake kwamba kingeshinda viti vyote katika uchaguzi huo...

Your browser doesn’t support HTML5

South Africa elections